Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake.

  • Kutoka 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtu akimkasirikia vikali mwenzake na kumuua kwa kukusudia,+ mtu huyo lazima afe hata ikiwalazimu kumwondoa kwenye madhabahu yangu.+

  • Hesabu 35:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hampaswi kumhurumia,* nanyi lazima mwondoe hatia ya damu isiyo na hatia kutoka katika Israeli,+ ili mambo yawaendee vyema.

  • 1 Wafalme 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Pia unajua vizuri jambo ambalo Yoabu mwana wa Seruya alinitendea, jambo alilowatendea wakuu wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri+ mwana wa Neri na Amasa+ mwana wa Yetheri. Aliwaua, na hivyo akamwaga damu+ ya vita wakati wa amani, akapaka damu ya vita kwenye mshipi uliokuwa kiunoni mwake na kwenye viatu alivyokuwa amevaa miguuni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki