-
1 Wafalme 12:28-30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+ 29 Kisha akamweka ndama mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+ 30 Na jambo hilo likawafanya watende dhambi,+ watu wakaenda mpaka Dani kuabudu ndama aliyekuwa huko.
-
-
Hosea 8:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa maana ndama huyu ametoka Israeli.
Fundi ndiye aliyemtengeneza, si Mungu;
Ndama wa Samaria atavunjwa na kubaki vipandevipande.
-