5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+
9 Isaya akajibu: “Hii ndiyo ishara kutoka kwa Yehova itakayokuonyesha kwamba Yehova atatimiza neno alilosema: Je, unataka kivuli kilicho kwenye ngazi* kiende mbele hatua kumi au kirudi nyuma hatua kumi?”+
31 Hata hivyo, wasemaji wa wakuu wa Babiloni walipotumwa wamuulize kuhusu ishara+ iliyokuwa imetokea* nchini,+ Mungu wa kweli alimwacha ili kumjaribu,+ ili ajue mambo yote yaliyokuwa moyoni mwake.+
8 Nitafanya kivuli cha jua kinachoshuka kwenye ngazi* ya Ahazi kirudi nyuma hatua kumi.”’”+ Basi jua likarudi nyuma hatua kumi kwenye ngazi ambayo tayari lilikuwa limeshuka.