Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+

  • 2 Wafalme 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Isaya akajibu: “Hii ndiyo ishara kutoka kwa Yehova itakayokuonyesha kwamba Yehova atatimiza neno alilosema: Je, unataka kivuli kilicho kwenye ngazi* kiende mbele hatua kumi au kirudi nyuma hatua kumi?”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Hata hivyo, wasemaji wa wakuu wa Babiloni walipotumwa wamuulize kuhusu ishara+ iliyokuwa imetokea* nchini,+ Mungu wa kweli alimwacha ili kumjaribu,+ ili ajue mambo yote yaliyokuwa moyoni mwake.+

  • Isaya 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nitafanya kivuli cha jua kinachoshuka kwenye ngazi* ya Ahazi kirudi nyuma hatua kumi.”’”+ Basi jua likarudi nyuma hatua kumi kwenye ngazi ambayo tayari lilikuwa limeshuka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki