Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa siku saba mtakula mikate isiyo na chachu.+ Naam, siku ya kwanza mtaondoa nyumbani mwenu unga uliokandwa wenye chachu, kwa sababu mtu yeyote atakayekula kitu kilichotiwa chachu kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, ni lazima auawe kutoka katika Israeli.

  • Mambo ya Walawi 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hampaswi kula kitu chochote chenye chachu pamoja na dhabihu hiyo;+ kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu, mikate ya mateso, kwa sababu mlitoka haraka katika nchi ya Misri.+ Fanyeni hivyo sikuzote za maisha yenu ili mkumbuke siku mliyotoka katika nchi ya Misri.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hezekia akatuma ujumbe kwa watu wote wa Israeli+ na Yuda, na hata aliwaandikia barua watu wa Efraimu na Manase+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova kuadhimisha Pasaka ya Yehova Mungu wa Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ kwa siku saba, wakiwa na shangwe nyingi,+ na Walawi na makuhani walikuwa wakimsifu Yehova siku baada ya siku, wakimpigia Yehova ala zao kwa sauti kubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki