Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Watu wa kabila la Manase hawakumiliki Beth-sheani na miji yake,* Taanaki+ na miji yake, Dori na miji yake, Ibleamu na miji yake, na Megido na miji yake.+ Wakanaani hawakukubali kutoka katika nchi hiyo.

  • Waamuzi 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wafalme walikuja, wakapigana vita;

      Wafalme wa Kanaani wakapigana+

      Huko Taanaki, kando ya maji ya Megido.+

      Hawakuchukua fedha kama nyara.+

  • Zekaria 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo kutakuwa na maombolezo makubwa Yerusalemu, kama maombolezo ya Hadadrimoni katika Nchi Tambarare ya Megido.+

  • Ufunuo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nayo yakawakusanya pamoja mahali panapoitwa katika Kiebrania Har-Magedoni.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki