Waamuzi 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Watu wa kabila la Manase hawakumiliki Beth-sheani na miji yake,* Taanaki+ na miji yake, Dori na miji yake, Ibleamu na miji yake, na Megido na miji yake.+ Wakanaani hawakukubali kutoka katika nchi hiyo. Waamuzi 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wafalme walikuja, wakapigana vita;Wafalme wa Kanaani wakapigana+Huko Taanaki, kando ya maji ya Megido.+ Hawakuchukua fedha kama nyara.+ Zekaria 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku hiyo kutakuwa na maombolezo makubwa Yerusalemu, kama maombolezo ya Hadadrimoni katika Nchi Tambarare ya Megido.+ Ufunuo 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nayo yakawakusanya pamoja mahali panapoitwa katika Kiebrania Har-Magedoni.*+
27 Watu wa kabila la Manase hawakumiliki Beth-sheani na miji yake,* Taanaki+ na miji yake, Dori na miji yake, Ibleamu na miji yake, na Megido na miji yake.+ Wakanaani hawakukubali kutoka katika nchi hiyo.
19 Wafalme walikuja, wakapigana vita;Wafalme wa Kanaani wakapigana+Huko Taanaki, kando ya maji ya Megido.+ Hawakuchukua fedha kama nyara.+
11 Siku hiyo kutakuwa na maombolezo makubwa Yerusalemu, kama maombolezo ya Hadadrimoni katika Nchi Tambarare ya Megido.+