Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kisha wataungama dhambi zao,+ wataungama pia dhambi na ukosefu wa uaminifu wa baba zao, nao watakiri kwamba hawakuwa waaminifu waliponipinga mimi.+

  • Ezra 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+

  • Nehemia 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 tafadhali, tega sikio lako na ufungue macho yako ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninakutolea leo, mchana na usiku,+ kuhusu watumishi wako Waisraeli, nikiungama dhambi ambazo watu wa Israeli wamekutendea. Tumetenda dhambi, mimi pamoja na nyumba ya baba yangu.+

  • Zaburi 106:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+

      Tumetenda kosa; tumetenda uovu.+

  • Danieli 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 tumetenda dhambi na tumekosea na tumetenda uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka na kuacha amri zako na sheria* zako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki