28 Kwa hiyo Waisraeli wote wakasikia kuhusu uamuzi uliofanywa na mfalme, nao wakamwogopa mfalme,+ kwa maana waliona kwamba alikuwa na hekima ya Mungu katika kutekeleza haki.+
34 Watu kutoka katika mataifa yote walikuja kuisikia hekima ya Sulemani, pamoja na wafalme kutoka kotekote duniani waliokuwa wamesikia kuhusu hekima yake.+