Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:27-29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mara tu Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi mwana wa Nahashi kutoka katika jiji la Raba+ la Waamoni, Makiri+ mwana wa Amieli kutoka Lo-debari, na Barzilai+ Mgileadi kutoka Rogelimu 28 wakaleta vitanda, mabeseni, vyungu, ngano, shayiri, unga, nafaka iliyokaangwa, maharagwe mapana, dengu, nafaka iliyokauka, 29 asali, siagi, kondoo, na jibini. Walimletea vitu hivyo vyote Daudi na watu waliokuwa pamoja naye ili wale,+ kwa maana walisema: “Watu wana njaa, wamechoka, na wana kiu nyikani.”+

  • 2 Samweli 19:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kisha Barzilai+ Mgileadi akashuka kutoka Rogelimu mpaka Yordani ili amsindikize mfalme hadi Yordani.

  • 1 Wafalme 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Lakini watendee wana wa Barzilai+ Mgileadi kwa upendo mshikamanifu, nao wanapaswa kuwa miongoni mwa wale wanaokula mezani pako, kwa maana hivyo ndivyo walivyonisaidia+ nilipomkimbia Absalomu ndugu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki