Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+

  • 2 Samweli 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ingawa ulifanya jambo hilo kwa siri,+ mimi nitafanya jambo hili mbele ya Waisraeli wote kweupe kabisa wakati wa mchana.’”*

  • Zaburi 94:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Waovu wataendelea mpaka lini, Ee Yehova,

      Waovu wataendelea mpaka lini kushangilia?+

  • Zaburi 94:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wanasema: “Yah haoni;+

      Mungu wa Yakobo hatambui jambo hilo.”+

  • Methali 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi:

      Anakula, anajipangusa kinywa;

      Kisha anasema, “Sijafanya kosa lolote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki