2 Samweli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+ 2 Samweli 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ingawa ulifanya jambo hilo kwa siri,+ mimi nitafanya jambo hili mbele ya Waisraeli wote kweupe kabisa wakati wa mchana.’”* Zaburi 94:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waovu wataendelea mpaka lini, Ee Yehova,Waovu wataendelea mpaka lini kushangilia?+ Zaburi 94:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanasema: “Yah haoni;+Mungu wa Yakobo hatambui jambo hilo.”+ Methali 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi: Anakula, anajipangusa kinywa;Kisha anasema, “Sijafanya kosa lolote.”+
9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+
12 Ingawa ulifanya jambo hilo kwa siri,+ mimi nitafanya jambo hili mbele ya Waisraeli wote kweupe kabisa wakati wa mchana.’”*
20 Hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi: Anakula, anajipangusa kinywa;Kisha anasema, “Sijafanya kosa lolote.”+