Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye huleta mvua duniani

      Na kupeleka maji mashambani.

  • Ayubu 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Huyafunga maji katika mawingu yake,+

      Ili mawingu yasipasuke kwa sababu ya uzito wake;

  • Ayubu 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa pumzi ya Mungu, barafu hutokea,+

      Na maji mengi huganda kabisa.+

  • Zaburi 135:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia;

      Hutengeneza radi* kwa ajili ya mvua;

      Huutoa upepo katika maghala yake.+

  • Methali 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ni nani amepanda mbinguni kisha akashuka?+

      Ni nani ameukusanya upepo katika viganja vyake viwili?

      Ni nani ameyafunga maji katika vazi lake?+

      Ni nani ameimarisha* miisho yote ya dunia?+

      Jina lake ni nani nalo jina la mwana wake ni nani—ikiwa unajua?

  • Isaya 40:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni nani amepima maji katika konzi ya mkono wake+

      Na kupima vipimo vya* mbingu kwa shubiri* ya mkono wake?

      Ni nani ameyakusanya mavumbi ya dunia katika kipimio+

      Au kupima milima katika mizani

      Na vilima katika mizani?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki