Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 20:26-29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Giza zito linasubiri hazina zake;

      Moto ambao haukuwashwa na yeyote utamla;

      Msiba unamsubiri yeyote atakayeokoka katika hema lake.

      27 Mbingu zitafunua kosa lake;

      Dunia itainuka dhidi yake.

      28 Mafuriko yataifagilia mbali nyumba yake;

      Yatakuwa mafuriko yenye nguvu katika siku ya hasira ya Mungu.

      29 Hilo ndilo fungu ambalo Mungu atampa mwovu,

      Urithi ambao Mungu amemtangazia.”

  • Zaburi 73:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kiburi*

      Nilipokuwa nikiona amani ya waovu.+

  • Zaburi 73:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hakika unawaweka kwenye ardhi yenye utelezi.+

      Unawafanya waanguke katika uharibifu wao.+

  • Methali 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+

      Lakini ni maangamizi kwa watenda maovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki