Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimtukane Mungu+ wala kumlaani kiongozi* miongoni mwa watu wako.+

  • Mhubiri 8:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nasema: “Tii maagizo ya mfalme+ kwa sababu ya kiapo chako kwa Mungu.+ 3 Usifanye haraka kuondoka mbele ya mfalme.+ Usitetee jambo lolote baya;+ kwa kuwa anaweza kufanya jambo lolote apendalo, 4 kwa sababu neno la mfalme ni uamuzi wa mwisho;+ ni nani anayeweza kumuuliza: ‘Unafanya nini?’”

  • Mhubiri 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki