2 Nasema: “Tii maagizo ya mfalme+ kwa sababu ya kiapo chako kwa Mungu.+3 Usifanye haraka kuondoka mbele ya mfalme.+ Usitetee jambo lolote baya;+ kwa kuwa anaweza kufanya jambo lolote apendalo, 4 kwa sababu neno la mfalme ni uamuzi wa mwisho;+ ni nani anayeweza kumuuliza: ‘Unafanya nini?’”
20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa.