Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,Lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+ Yeremia 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Ninawaletea msiba+ ambao hawataweza kuuepuka. Watakaponiomba msaada, sitawasikiliza.+
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+ Ingawa mnatoa sala nyingi,+Mimi sisikilizi;+Mikono yenu imejaa damu.+
11 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Ninawaletea msiba+ ambao hawataweza kuuepuka. Watakaponiomba msaada, sitawasikiliza.+