10 mimi sistahili upendo wote mshikamanifu na uaminifu wote ambao umenitendea mimi, mtumishi wako,+ kwa maana nilivuka mto huu wa Yordani nikiwa na fimbo yangu tu lakini sasa nina kambi mbili.+
9 Ndipo Amazia akamuuliza hivi mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini vipi kuhusu zile talanta 100 ambazo nimewapa wanajeshi wa Israeli?” Mtu wa Mungu wa kweli akamjibu: “Yehova anaweza kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+