Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mimi sistahili upendo wote mshikamanifu na uaminifu wote ambao umenitendea mimi, mtumishi wako,+ kwa maana nilivuka mto huu wa Yordani nikiwa na fimbo yangu tu lakini sasa nina kambi mbili.+

  • 1 Samweli 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+

      Hushusha, naye hukweza.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Amazia akamuuliza hivi mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini vipi kuhusu zile talanta 100 ambazo nimewapa wanajeshi wa Israeli?” Mtu wa Mungu wa kweli akamjibu: “Yehova anaweza kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+

  • Methali 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Unyenyekevu na kumwogopa Yehova huleta

      Utajiri na utukufu na uzima.+

  • Isaya 61:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Badala ya aibu mtakuwa na fungu mara mbili,

      Na badala ya fedheha watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya fungu lao.

      Naam, watamiliki fungu mara mbili katika nchi yao.+

      Watakuwa na shangwe milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki