Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+

      Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+

  • Mathayo 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Walipokuwa wakila, akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+

  • Yohana 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sisemi kuwahusu ninyi nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua. Lakini ilikuwa hivyo ili andiko hili litimizwe:+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki