Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+ Mathayo 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipokuwa wakila, akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+ Yohana 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sisemi kuwahusu ninyi nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua. Lakini ilikuwa hivyo ili andiko hili litimizwe:+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’*+
9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+
18 Sisemi kuwahusu ninyi nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua. Lakini ilikuwa hivyo ili andiko hili litimizwe:+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’*+