Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+

  • Zaburi 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+

      Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

      Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+

      Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki