16 Sasa Yehova akamwambia Musa hivi: “Tazama! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho pamoja na miungu ya kigeni inayowazunguka katika nchi wanayoenda.+ Wataniacha na kuvunja agano langu+ ambalo nimefanya pamoja nao.+
20Sasa palikuwa na mfanya fujo fulani aliyeitwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenjamini. Alipiga pembe+ na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi, na hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Enyi Waisraeli, kila mtu aende kwa miungu* yake!”+
26 “Hata hivyo, hawakutii, bali walikuasi+ na kuigeuzia mgongo Sheria yako.* Wakawaua manabii wako waliowaonya wakurudie, nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima.+