16 Pia, unapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mavuno* ya matunda ya kwanza yaliyoiva* ya kazi zako, na ya vitu unavyopanda shambani;+ na Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mazao ya kazi zako.+
10 “Pia, katika siku zenu za kushangilia+—wakati wa sherehe zenu+ na mwanzoni mwa miezi yenu—mtazipiga tarumbeta hizo mnapotoa* dhabihu zenu za kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ zitanifanya mimi Mungu wenu niwakumbuke. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+