Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Asubuhi, siku ya tatu, kulikuwa na ngurumo na radi, na kulikuwa na wingu zito+ mlimani na sauti kubwa sana ya pembe, na watu wote kambini wakaanza kutetemeka.+

  • Kutoka 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+

  • Zaburi 77:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sauti ya mngurumo+ wako ilikuwa kama magurudumu ya gari la vita;

      Mimweko ya radi iliangaza dunia inayokaliwa;*+

      Dunia ilitikisika na kutetemeka.+

  • Zaburi 104:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huitazama dunia, inatetemeka;

      Huigusa milima, inafuka moshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki