Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+Na yule anayefuata njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa;+Nitatimiza nadhiri zangu kwako+ Zaburi 122:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 122 Nilishangilia waliponiambia: “Na twende katika nyumba ya Yehova.”+ 2 Na sasa miguu yetu imesimamaNdani ya malango yako, Ee Yerusalemu.+
23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+Na yule anayefuata njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+
13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa;+Nitatimiza nadhiri zangu kwako+ Zaburi 122:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 122 Nilishangilia waliponiambia: “Na twende katika nyumba ya Yehova.”+ 2 Na sasa miguu yetu imesimamaNdani ya malango yako, Ee Yerusalemu.+
122 Nilishangilia waliponiambia: “Na twende katika nyumba ya Yehova.”+ 2 Na sasa miguu yetu imesimamaNdani ya malango yako, Ee Yerusalemu.+