Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Ni nani aliye na hekima ya kutosha kuhesabu mawingu,

      Au ni nani anayeweza kuinamisha mitungi ya maji ya mbinguni+

  • Zaburi 147:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,

      Yeye anayeiletea dunia mvua,+

      Yeye anayechipusha majani+ milimani.

  • Yeremia 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Anapofanya sauti yake isikike,

      Maji yaliyo mbinguni husukasuka,+

      Naye huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia.+

      Hutengeneza radi* kwa ajili ya mvua,

      Naye huutoa upepo katika maghala yake.+

  • Amosi 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 ‘Yule anayejenga ngazi zake mbinguni

      Na kujenga jengo* lake juu ya dunia;

      Yule anayeyaita maji ya bahari,

      Ili ayamwage duniani+

      —Yehova ndilo jina lake.’+

  • Mathayo 5:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, na hunyesha mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki