Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+ Huyu ni Mungu wangu, nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nitamkweza.+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+ Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+ Huyu ni Mungu wangu, nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nitamkweza.+
2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+