Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+ Mika 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa mengi+Na kunyoosha* mambo kuhusiana na mataifa yenye nguvu yaliyo mbali. Watafua panga zao ziwe majembe ya plauNa mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine,Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+
9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+
3 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa mengi+Na kunyoosha* mambo kuhusiana na mataifa yenye nguvu yaliyo mbali. Watafua panga zao ziwe majembe ya plauNa mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine,Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+