Zaburi 19:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega. Zaburi 119:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Sheria uliyotangaza ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+ Zaburi 119:127 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Ndiyo sababu ninazipenda amri zakoKuliko dhahabu, hata dhahabu bora.*+ Methali 3:13-15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi;14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+ 15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.
9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.
13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi;14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+ 15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.