-
Mathayo 22:37-40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Akamwambia: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote na kwa akili yako yote.’+ 38 Hii ndiyo amri ya kwanza na iliyo kuu zaidi. 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ 40 Sheria yote na Manabii hutegemea amri hizo mbili.”+
-