Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+ Mambo ya Walawi 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.* Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+
9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.*
17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+