Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:6-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mwendee chungu, ewe mvivu;+

      Zichunguze njia zake uwe na hekima.

       7 Ingawa hana kamanda, ofisa, au mtawala,

       8 Yeye hutayarisha chakula chake wakati wa kiangazi,+

      Na kukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

       9 Ewe mvivu, utaendelea kulala hapo mpaka lini?

      Utaamka lini kutoka katika usingizi wako?

      10 Lala kidogo, sinzia kidogo,

      Kunja mikono kidogo ili upumzike,+

      11 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,

      Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+

  • Methali 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kuna vitu anavyotamani sana mtu mvivu, ingawa hana chochote,+

      Lakini mwenye bidii atatoshelezwa kikamili.*+

  • Methali 19:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mvivu huutumbukiza* mkono wake katika bakuli la karamu,

      Lakini hata hashughuliki kuurudisha kinywani mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki