Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mkiendelea kusikiliza sheria hizi na kuzifuata na kuzitekeleza, Yehova Mungu wenu atatimiza lile agano na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu kama alivyowaapia mababu zenu.

  • Zaburi 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini wapole wataimiliki dunia,+

      Nao watafurahia kwelikweli wingi wa amani.+

  • Zaburi 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova anajua mambo wanayokabili watu wasio na lawama,*

      Na urithi wao utadumu milele.+

  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.

      Yehova hatawanyima jambo lolote jema

      Wale wanaotembea kwa utimilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki