Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa Eliya*+ Mtishbi, mkaaji wa Gileadi,+ alimwambia hivi Ahabu: “Kwa hakika kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli ninayemtumikia,* katika miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua isipokuwa kwa neno langu!”+

      2 Neno hili la Yehova likamjia: 3 “Ondoka hapa, ugeuke kwenda upande wa mashariki, ujifiche katika Bonde* la Kerithi, upande wa mashariki wa Yordani.

  • Methali 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia,

      Lakini mwovu anapotawala, watu hulia kwa maumivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki