-
1 Wafalme 3:11-13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Basi Mungu akamwambia: “Kwa kuwa umeomba jambo hili, nawe hukujiombea maisha marefu* wala utajiri wala kuomba maadui wako wafe, lakini uliomba uelewaji wa kusikiliza kesi,+ 12 nitafanya uliloomba.+ Nitakupa moyo wenye hekima na uelewaji,+ hivi kwamba kama vile ambavyo hajawahi kamwe kuwapo mtu mwingine kama wewe kabla yako, hatawahi kamwe kuwapo mtu mwingine kama wewe baada yako.+ 13 Isitoshe, nitakupa vitu ambavyo hukuomba,+ utajiri na utukufu,+ hivi kwamba hatakuwapo mfalme mwingine kama wewe katika maisha yako yote.*+
-