Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nikachukia vitu vyote nilivyokuwa nimefanya kazi ngumu chini ya jua ili kuvipata,+ kwa sababu ni lazima nimwachie mtu atakayekuja baada yangu.+

  • Mhubiri 5:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama mtu alivyotoka katika tumbo la mama yake akiwa uchi, ndivyo atakavyoenda, kama alivyokuja.+ Naye hawezi kwenda na chochote alichopata kutokana na kazi yake yote ngumu.+

      16 Huu pia ni msiba mkubwa:* Kama tu alivyokuja, ndivyo atakavyoenda; na mtu ambaye anafanya kazi kwa bidii daima kwa ajili ya upepo anapata faida gani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki