Isaya 43:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+ Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+ Isaya 48:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+ Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+
10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+
6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+
12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+