Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ndipo akasema, “Nenda, uwaambie hivi watu hawa:

      ‘Mtasikia tena na tena,

      Lakini hamtaelewa;

      Mtaona tena na tena,

      Lakini hamtapata ujuzi wowote.’+

      10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+

      Yafanye masikio yao yawe mazito,+

      Na uyafunge kabisa macho yao,

      Ili wasione kwa macho yao

      Na wasisikie kwa masikio yao,

      Ili moyo wao usielewe

      Nao wasigeuke na kuponywa.”

  • Isaya 42:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sikilizeni, ninyi viziwi;

      Tazameni na mwone, ninyi vipofu.+

      19 Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,

      Aliye kiziwi sana kama mjumbe ninayemtuma?

      Ni nani aliye kipofu sana kama yule ambaye amethawabishwa,

      Aliye kipofu sana kama mtumishi wa Yehova?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki