Isaya 40:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Fundi hutengeneza sanamu,*Mfua chuma huifunika kwa dhahabu,+Naye huitengenezea mikufu ya fedha. Isaya 41:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo fundi anamwimarisha mfua chuma;+Yule anayelainisha kwa nyundo ya chumaAnamwimarisha yule agongaye kwenye fuawe. Anasema hivi kuhusu lehemu: “Ni nzuri.” Kisha inapigiliwa misumari ili isianguke. Isaya 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;Wanapima fedha katika mizani. Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+ Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+
7 Kwa hiyo fundi anamwimarisha mfua chuma;+Yule anayelainisha kwa nyundo ya chumaAnamwimarisha yule agongaye kwenye fuawe. Anasema hivi kuhusu lehemu: “Ni nzuri.” Kisha inapigiliwa misumari ili isianguke.
6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;Wanapima fedha katika mizani. Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+ Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+