Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zeba na Zalmuna walipokimbia, Gideoni aliwafuatia na kuwakamata hao wafalme wawili wa Midiani, Zeba na Zalmuna, na jeshi lao lote likaogopa.

  • Waamuzi 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hivyo Wamidiani+ wakashindwa na Waisraeli, na hawakupigana nao* tena; na nchi ikawa na amani* kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+

  • Isaya 10:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yehova wa majeshi atatikisa mjeledi dhidi yake,+ kama aliposhinda Midiani kando ya mwamba wa Orebu.+ Na gongo lake litakuwa juu ya bahari, naye ataliinua kama alivyoitendea Misri.+

      27 “Siku hiyo mzigo wake utaondoka juu ya bega lako,+

      Na nira yake itaondoka kwenye shingo yako,+

      Na nira itavunjwa+ kwa sababu ya mafuta.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki