Zaburi 137:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+ Yeremia 51:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+Pango la mbwamwitu,+Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,Bila mkaaji.+ Ufunuo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+
8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+
37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+Pango la mbwamwitu,+Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,Bila mkaaji.+
2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+