Mwanzo 32:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yakobo akawatuma wajumbe wamtangulie kwenda kwa Esau ndugu yake katika nchi ya Seiri,+ katika eneo* la Edomu,+ Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ Zaburi 137:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbuka, Ee Yehova,Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka: “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+
3 Kisha Yakobo akawatuma wajumbe wamtangulie kwenda kwa Esau ndugu yake katika nchi ya Seiri,+ katika eneo* la Edomu,+
8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
7 Kumbuka, Ee Yehova,Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka: “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+