Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kulingana na asili za koo zao: Nebayothi+ mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+

  • Zaburi 120:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mgeni Mesheki!+

      Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+

  • Wimbo wa Sulemani 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi mabinti wa Yerusalemu,

      Kama mahema ya Kedari,+ kama vitambaa vya mahema+ ya Sulemani.

  • Isaya 42:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nyika na majiji yake na yapaze sauti yao,+

      Makao ambamo Kedari anaishi.+

      Wale wanaokaa kwenye jabali na wapige vigelegele kwa shangwe;

      Na wapaze sauti kutoka kwenye vilele vya milima.

  • Yeremia 49:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi:

      “Inukeni, pandeni mwende Kedari,

      Na muwaangamize wana wa Mashariki.

  • Ezekieli 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Uliwaajiri Waarabu na wakuu wote wa Kedari,+ waliokuwa wafanyabiashara wa wanakondoo na kondoo dume na mbuzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki