Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.

  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova.

      “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+

      Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+

  • Yeremia 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Yehova akaniambia: “Hata kama Musa na Samweli wangekuwa wamesimama mbele zangu,+ singewaonyesha kibali* watu hawa. Wafukuze kutoka mbele zangu. Waache waende.

  • Ezekieli 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Uchafu wako ulisababishwa na mwenendo wako mchafu.+ Nilijaribu kukusafisha lakini hungeweza kuwa safi kutokana na uchafu wako. Hutakuwa safi mpaka ghadhabu yangu dhidi yako itakapotulia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki