- 
	                        
            
            Isaya 32:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,
Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,
Malisho ya mifugo,+
- 
	                        
            
            Maombolezo 2:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 Yehova ameazimia kuuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+
Ameinyoosha kamba ya kupimia.+
Hajauzuia mkono wake usilete maangamizi.*
Naye husababisha maboma na kuta ziomboleze.
Zote pamoja zimedhoofishwa.
ט [Teth]
9 Malango yake yamezama chini ardhini.+
Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake.
Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+
Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+
 
 - 
                                        
 
 - 
	                        
            
            
 
 -