2 Mambo ya Nyakati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Aliendelea kuwatuma manabii miongoni mwao ili wawarudishe kwa Yehova, nao waliendelea kuwaonya* lakini walikataa kusikiliza.+ Nehemia 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Hata hivyo, hawakutii, bali walikuasi+ na kuigeuzia mgongo Sheria yako.* Wakawaua manabii wako waliowaonya wakurudie, nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima.+ Zekaria 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ wakageuza migongo yao kwa ukaidi,+ na kuziba masikio yao ili wasisikie.+
19 Aliendelea kuwatuma manabii miongoni mwao ili wawarudishe kwa Yehova, nao waliendelea kuwaonya* lakini walikataa kusikiliza.+
26 “Hata hivyo, hawakutii, bali walikuasi+ na kuigeuzia mgongo Sheria yako.* Wakawaua manabii wako waliowaonya wakurudie, nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima.+
11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ wakageuza migongo yao kwa ukaidi,+ na kuziba masikio yao ili wasisikie.+