Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni:

      “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake!

      Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+

       5 Yehova ameivunja fimbo ya waovu,

      Gongo la watawala,+

       6 Yule anayewapiga watu kwa hasira kwa mapigo yasiyokoma,+

      Yule anayeyatiisha mataifa kwa hasira kwa mateso yasiyoisha.+

  • Isaya 47:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+

      Niliutia unajisi urithi wangu,+

      Nami nikawatia mkononi mwako.+

      Lakini hukuwaonyesha rehema.+

      Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+

  • Yeremia 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo wale wote wanaokumeza, watamezwa,+

      Na maadui wako wote watapelekwa pia utekwani.+

      Wale wanaokupora wataporwa,

      Nami nitawatia mikononi mwa waporaji wale wote wanaokupora.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki