Isaya 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Wale wote wanaowaka hasira dhidi yako wataaibishwa na kufedheheshwa.+ Wale wanaopigana nawe watafanywa kuwa si kitu na wataangamia.+ Yeremia 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+
11 Tazama! Wale wote wanaowaka hasira dhidi yako wataaibishwa na kufedheheshwa.+ Wale wanaopigana nawe watafanywa kuwa si kitu na wataangamia.+
12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+