Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mimi mwenyewe nitaifanya nchi yenu iwe ukiwa,+ na maadui wenu watakaoishi humo watashangazwa na hali yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lililosemwa na Yeremia,+ mpaka nchi ilipolipa sabato zake.+ Sikuzote ilipokuwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji

      Na nyumba zisiwe na watu

      Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+

  • Yeremia 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sikiliza! Habari! Inakuja!

      Kishindo kikubwa kutoka nchi ya kaskazini,+

      Ili kuyafanya majiji ya Yuda yawe ukiwa, mapango ya mbwamwitu.+

  • Ezekieli 33:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitaifanya nchi iwe mahame na ukiwa kabisa,+ na kiburi chake chenye majivuno kitakomeshwa, na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ na hakuna yeyote atakayepitia humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki