-
2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lililosemwa na Yeremia,+ mpaka nchi ilipolipa sabato zake.+ Sikuzote ilipokuwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+
-
-
Isaya 6:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:
“Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji
Na nyumba zisiwe na watu
Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+
-
Yeremia 10:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Sikiliza! Habari! Inakuja!
-
-
-