Kumbukumbu la Torati 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+ Yeremia 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi nitawapa wanaume wengine wake zao,Na mashamba yao nitawapa wamiliki wengine;+Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+ Maombolezo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wamewafedhehesha* wake walio Sayuni, mabikira walio katika majiji ya Yuda.+ Sefania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+ Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+
30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+
10 Basi nitawapa wanaume wengine wake zao,Na mashamba yao nitawapa wamiliki wengine;+Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+
13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+ Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+