Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+

  • Yeremia 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi nitawapa wanaume wengine wake zao,

      Na mashamba yao nitawapa wamiliki wengine;+

      Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+

      Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+

  • Maombolezo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wamewafedhehesha* wake walio Sayuni, mabikira walio katika majiji ya Yuda.+

  • Sefania 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+

      Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;

      Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki