-
Yeremia 5:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+
Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?”
-
-
Yeremia 6:12-15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Kwa maana nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya wakaaji wa nchi,” asema Yehova.
13 “Kwa maana kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia faida isiyo ya haki;+
Kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa ulaghai.+
Wakati hakuna amani.+
15 Je, wanaona aibu kwa sababu ya mambo yanayochukiza waliyotenda?
Hawaoni aibu hata kidogo!
Hata hawajui jinsi ya kufedheheka!+
Basi wataanguka miongoni mwa wale walioanguka.
Nitakapowaadhibu watajikwaa,” asema Yehova.
-