2 Wafalme 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba. 2 Wafalme 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu.”+ 2 Mambo ya Nyakati 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ 2 Mambo ya Nyakati 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu milele.”+ Yeremia 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Nabii pamoja na kuhani wamechafuliwa.*+ Hata katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata uovu wao,”+ asema Yehova. Yeremia 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nao waliweka sanamu zao zinazochukiza katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kuitia unajisi.+
21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba.
4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu.”+
33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+
4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu milele.”+
11 “Nabii pamoja na kuhani wamechafuliwa.*+ Hata katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata uovu wao,”+ asema Yehova.
34 Nao waliweka sanamu zao zinazochukiza katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kuitia unajisi.+