Waamuzi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao, na kuabudu Mabaali+ na miti mitakatifu.*+ 1 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamlilia Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumekuacha wewe, Yehova, ili kuabudu Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ sasa tuokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu ili tukutumikie.’ Hosea 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kadiri walivyowaita,*Ndivyo walivyoenda mbali nao.+ Waliendelea kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali+Na kutoa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+
7 Basi Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao, na kuabudu Mabaali+ na miti mitakatifu.*+
10 Nao wakamlilia Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumekuacha wewe, Yehova, ili kuabudu Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ sasa tuokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu ili tukutumikie.’
2 Kadiri walivyowaita,*Ndivyo walivyoenda mbali nao.+ Waliendelea kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali+Na kutoa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+