Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Ikiwa nabii yeyote atasema kwa kimbelembele katika jina langu neno ambalo sikumwamuru aseme au kusema katika jina la miungu mingine, nabii huyo lazima afe.+

  • Yeremia 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo mimi Yehova ninasema hivi kuhusu manabii wanaotabiri katika jina langu ingawa sikuwatuma, na wanaosema hakuna upanga wala njaa kali itakayokuja katika nchi hii: ‘Manabii hao wataangamia kwa upanga na kwa njaa kali.+

  • Ezekieli 13:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli,+ nawe uwaambie hivi wale wanaotunga unabii wao wenyewe:*+ ‘Sikieni neno la Yehova. 3 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao manabii wapumbavu, wanaofuata roho yao wenyewe, ingawa hawajaona chochote!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki