Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nitawafanya wawe kitu cha kutisha na msiba kwa falme zote za dunia,+ shutuma, methali, kitu cha kudhihakiwa, na laana+ kila mahali nitakapowatawanya.+

  • Yeremia 42:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Kama hasira yangu na ghadhabu yangu ilivyomwagwa juu ya wakaaji wa Yerusalemu,+ ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu ikiwa mtaenda Misri, nanyi mtakuwa laana, kitu cha kutisha, matusi, na shutuma,+ nanyi hamtapaona tena kamwe mahali hapa.’

  • Maombolezo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa nini unatusahau milele na kutuacha kwa muda mrefu sana hivyo?+

  • Danieli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, kulingana na matendo yako yote ya uadilifu,+ tafadhali, iondoe hasira na ghadhabu yako kutoka katika jiji lako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu; kwa maana dhambi zetu na makosa ya mababu zetu yamefanya Yerusalemu na watu wako wawe kitu cha kushutumiwa na watu wote wanaotuzunguka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki